Home » » HATIMAYE FEZA KESSY KUVISHWA PETE YA UCHUMBA NA ONEIL WA BOTSWANA....

HATIMAYE FEZA KESSY KUVISHWA PETE YA UCHUMBA NA ONEIL WA BOTSWANA....

ILE ndoto yao ya muda mrefu itakuwa sasa imetimia baada ya waliokuwa washiriki wa shindano la BBA'The Chase'2013,Feza Kessy kutoka Bongo na mchumba wake Oneil wa Botswana kunaswa hivi karibuni wakinunua pete ya uchumba katika duka moja la vito nchini Botswana.

Feza amerudi tena nchini humo baada ya kurejea Bongo na kukaa kwa siku kadhaa picha mbalimbali amepiga akiwa na mashabiki wao.…
uswaziblog
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger