Home » » Baada ya tuhuma juu ya serikali yake, Rais wa Malawi Joyce Banda amevunja baraza la mawaziri...!! SOMA ZAIDI HAPA.

Baada ya tuhuma juu ya serikali yake, Rais wa Malawi Joyce Banda amevunja baraza la mawaziri...!! SOMA ZAIDI HAPA.

Baada ya kurudi tu kutoka kwenye ziara ambayo ilihusisha kuhutubia kwenye mkutano wa Umoja wa mataifa, Rais Joyce Banda amefikia uamuzi wa kuvunja baraza lake la mawaziri. 

Moja ya sababu za msingi ni tuhuma zinazotolewa juu ya matumizi mabaya ya serikali yake, japokuwa maamuzi hayo yalivyofanywa haikutajwa sababu moja kwa moja ya kuvunja baraza hilo.


5695D8EA-1BA6-4422-9831-A0DAA326E728_w640_r1_s

Sikiliza hii interview na Moses Kunkuyu mmoja wa mawaziri walikuwa na vyeo kabla ya kuvunjwa kwa baraza hilo, hapa anazungumzia baada ya kuvunjwa baraza hilo ambapo bado haijajulikana lini litatangazwa baraza jipya.
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger