Home » , » TUKIO LA AINA YAKE:...MAITI YAKAMATWA NA KETE ZA MADAWA YA KULEVYA...!!!!!!CHEKI PICHA ZA TUKIO HAPA

TUKIO LA AINA YAKE:...MAITI YAKAMATWA NA KETE ZA MADAWA YA KULEVYA...!!!!!!CHEKI PICHA ZA TUKIO HAPA


HIZI ndizo kete zinazodaiwa kuwa ni madawa ya kulevya yaliyopatikana katika gari baada ya kupekuliwa kituo kikuu cha polisi.

Maiti ikiwa ndani ya gari yenye namba ya usajili T 887 BSW eneo la chumba cha kuhifadhia maiti cha hospotali kuu ya mkoa wa Morogoro, baada ya gari hilo kukamatwa majira ya saa 7 usiku eneo la Mikumi,likiwa na watu watatu na maiti ya binadamu inayodaiwa kupoteza maisha baada ya kumeza kete hizo za zinazodaiwa kuwa ni madawa ya kulevya na kufariki dunia,


Maiti ikisafirishwa kutoka Tunduma mkoani Mbeya kwenda Jijini Dar es Salaam.
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger