Home » » ANAPENDA KUICHEZEA YANGU ILA KU DO HATAKI KABISA...!! MSAADA JAMANI NIMFANYEJE DEMU WA NAMNA HII...??

ANAPENDA KUICHEZEA YANGU ILA KU DO HATAKI KABISA...!! MSAADA JAMANI NIMFANYEJE DEMU WA NAMNA HII...??


Kuna binti mmoja, nilikua nampenda sana, nkamtongoza akanambia hawez kuwa mpenzi wangu coz ana boy wake.. Tukawa marafiki,, siku moja akaniomba twende disko, tulipomaliza kucheza akasema nkalale kwake, nkajua nafasi ndio hii. Cha ajabu tulipolala hakutaka tufanye tendo ila aliniambia anapenda kuichezea yangu, nkamwachia achezee na mie nikawa nayachezea matt yake, tukachezeana hadi tulipopata usingizi. Ikawa ni tabia yake tukikaa pazuri tu lazima aichezee yangu na mie nachezea kifuani pake. 

KILA NIKIMUOMBA KUFANYA ALIKATAA. Hatukuwahi kula hata denda, alikua anakataa.
Sasa hivi niko mbali naye, anadai kamisi kuichezea.. Na kamuacha jamaa.. Nkimuuliza kuhusu ku-do anasema nisitegemee... Nkiendelea kuomba atanichukia.

Wataalamu niambie nini kifanyike hapo?
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger