Home » , » "WANAUME HAWANITAKI KABISA KUTOKANA NA JINSI NILIVYO..INANIUMA SANA"...MDAU AFUNGUKA..

"WANAUME HAWANITAKI KABISA KUTOKANA NA JINSI NILIVYO..INANIUMA SANA"...MDAU AFUNGUKA..

1 2 3 4 5 7
 Queen ni mtoto wa 4 kati yya familia ya watoto 5. Ni msichana mzuri na mrembo kimtazamo, lakni tatizo kubwa linalomkabili maishani mwake ni nywele ambazo zimekuwa zikimfanya aonekane kama mwanaume…..

 Akiongea na paparazi wetu kwa njia ya mtandao, Queen amesimulia kuhusu changamoto anazokumbana nazo kutokana na tatizo hilo.

 “Nimerithi hizi nywele toka kwa mama yangu na zilinianza nikiwa na miaka 21. Kadri miaka ilivyozidi kusonga mbele, tatizo hili lilizidi kusambaa mwili mzima.

 “Mwanzo nilikuwa najisikia vibaya sana maana watu walikuwa wakiniona ni kiumbe wa ajabu, lakini baadae nilizoea na ikanilazimu nikubaliane na ukweli….

 Akiongelea kuhusu changamoto za kimahusiano anazozipata ,Queen alikuwa na haya ya kusema:

“Sijabahatika kuwa na mwanaume wa kudumu, wengu hunikimbia kutokana na hali hii”



 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger