Shabiki mmoja wa Simba alitoa kali ya mwaka baada ya kuchukua kipande cha jezi ya beki Kelvin Yondani na kujifutia makalio.
![]() |
SHABIKI WA SIMBA AKIJIFUTIA MAKALIO YAKE KIPANDE CHA JEZI YA YONDANI HUKU AKIWAONYESHA MASHABIKI WA YANGA. |
Yondani
aliyewahi kukipiga Simba kabla ya kutua Yanga, aliwarushia mashabiki
hao jezi wakati akitoka uwanjani baada ya kupewa kadi nyekundu.
![]() | ||
|
Nao
wakaigombea kwa takribani dakika mbili na kuichana vipande, halafu
shabiki huyo akachukua kipande chake na kuanza kujifuta makalio huku
akiyaelekeza kwenye upande wa mashabiki wa Yanga.