Home » , » UKATILI..!MWIZI WA KUKU AVULIWA NGUO NA KUFINGIWA NDANI YA TENGA ILI ACHOMWE MOTO BAADA YA KUKAMATWA NA WANANCHI..

UKATILI..!MWIZI WA KUKU AVULIWA NGUO NA KUFINGIWA NDANI YA TENGA ILI ACHOMWE MOTO BAADA YA KUKAMATWA NA WANANCHI..

Huyu  ni  mkenya   aliyekuwa  ameiba  kuku.Wananchi  walipomnasa walimpa  kichapo  kikali  na  kisha  kumfungia  ndani  ya  tenga  la  kuku  kwa  ajili  ya  kumchoma  moto….
Wangali  katika  maandalizi  ya  kutafuta  petrol, polisi  waliwasili  eneo  la  tukio  na  kumuokoa  kwa  kumpeleka  kituoni.
Bofya hapo chini ili kuiona picha hiyo...

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger