Home » » PICHA 5 : RONALDO APIGA PICHA ZA NUSU UCHI KWASABABU YA MBUNIFU GIORGIO ARMANI

PICHA 5 : RONALDO APIGA PICHA ZA NUSU UCHI KWASABABU YA MBUNIFU GIORGIO ARMANI


 
Kutoka Majuu uko Tunamwangazia Mchezaji Mpira Maarufu  Duniani na mwenye Bei ghali kuliko wachezaji mpira wote Duniani namzungumzia  Cristiano Ronaldo mchezaji wa Real Madrid ya Uhispania lakini hapa tunaangazia kwenye maswala
 ya yeye kujiingizia pesa kama staa duniani.....Akiwa na umri wa miaka 25Cristiano  Ronaldo usiku wa Kuamkia
siku chache zilizo pita ameweza kumwaga wino wa Mkataba wa kupiga picha  na  Mbunifu Giorgio Armani mbunifu toka Italia wa kutangaza nguo za ndani kwa wanaume  na suruali aina ya jeans  za mbunifu huyo.....
Unajua hii imetokanaje!? kutokana na Ronaldo ni mchezaji  maarufu na mzuri duniani
so ameamua kumtumia kutangaza biashara yake akijua fika  shabiki yoyote wa Ronaldo akiona Ronaldo anazitanga ni lazima atanunua yule shabiki  wa Staa huyo duniani.... Giorgio Armani ameweza kumpa Ronaldo dola za kimarekani
 Milioni 20 kwa Kutangaza  Nguo hiyo ya ndani na Jeans hiyo na hapa meamua kukuwekea picha hizi uweze kuona taswira ya  kile nachokizungumzia....!1 Hongera kwa Staa huyo kuvuta mkwanja mwingi kwa kazi hiyo...!! Boxer hizo na jeans hizo zitaanza kuwa kwenye store mnamo tarehe 6.8.2014 kwa gharama ya boxer dola $98 na  jeans kwa dola $240 sawa sawa na boxer kwa pesa taslimu ya kitanzania itauzwa kwa 142,000/= na jeans itauzwa kwa Tsh 366,000

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger