Home » » Milipuko miwili ya mabomu yautikisa mji wa Zanzibar...

Milipuko miwili ya mabomu yautikisa mji wa Zanzibar...



Milipuko  miwili  inayosadikiwa  kuwa  ni ya  mabomu imetokea  katika  maeneo  mawili  tofauti  mjini  Zanzibar  na  kusababisha  hofu  kubwa  kwa  wananchi....

Mlipuko  wa  kwanza  umetokea  katika  hoteli  ya  Mercury  iliyopo  Forodhani  na  wa  pili  umetokea  kanisa  la  Anglikana  eneo  la  Mkunazini...

Habari  zaidi  zitakuijia  hivi  punde.

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger