Home » , » NYUMBA MPYA YA DIAMOND NI NOMA SANA...CHEKI PICHA

NYUMBA MPYA YA DIAMOND NI NOMA SANA...CHEKI PICHA

Imefikia mahala flani hivi ambapo kweli kila mtu anaweza ku-agree kuwa muziki wetu huu wa bongo maarufu kama bongo fleva unalipa kwa kweli,tofauti kabisa na hapo mwanzo ulipokuwa unaonekana tu ni mziki wakihuni,na mzazi akijua unataka kufanya bongo fleva wakati unasoma.mtu unakuta unachezea stick zakutosha au kufukuzwa hadi home ikiwa mshua mtata zaidi,hivi sasa wasanii wengi wamekuwa wanapata maendeleo mbalimbali makubwa wengine magari na wachache sana wanaokumbuka mpango mzima wakujenga hivyo ikitokea mtu anajenga inabidi apewe hongera zake.
04dec2c0788211e3a1741240743416c5_8
Kupitia mtandao wa instagram msanii maarufu star wa nyimbo ya Mynumber1 Diamond platnums ame-share moja ya picha ya sehemu ya mjengo wake mpya ambao bado upo under construction,noma zaidi katika mjengo huo anaoushusha msanii kutakuwa na bonge la sweaming pool ambalo itakuwa kwenye backyard tu ya house hilo,kupitia mtandao huo wa instagram alitupia hiyo picha na kuandika haya.huku akionyesha uzalendo flani hivi kwa nchi yake.
Capture
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger