Home » , » WEMA SEPETU ARUDI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII KWA MARA YA KWANZA BAADA YA MSIBA. ...CHEKI HAPA

WEMA SEPETU ARUDI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII KWA MARA YA KWANZA BAADA YA MSIBA. ...CHEKI HAPA

wema sepetu ameoneka akipost kitu kwa mara ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii baada ya muda mrefu toka msiba wa baba yake ulipotokea hivi karibuni.
Katika post hiyo Wema amewataka “Teamwema” wapunguze jazba juu yanayotokea juu yake na kuwasihi kuwa wapunguze kutumia lugha ya matusi kwenye mitandao hiyo maana wanamuumiza ‘madame’..tazama alichokisema hapa...

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger