Home » , » IRENE UWOYA AANIKA MAJIBU YAKE YA UKIMWI HADHARANI.....AWASHAURI WENGINE KUIGA MFANO WAKE..!!

IRENE UWOYA AANIKA MAJIBU YAKE YA UKIMWI HADHARANI.....AWASHAURI WENGINE KUIGA MFANO WAKE..!!

 
 Irene  Uwoya  hana  UKIMWI.....

Hii  si  kauli  yangu...Ni  kauli  ya  Mama  Krish  "Irene  Uwoya"  ambayo   imewekwa  katika  ukurasa  wake  wa  Instagram  ikiambatana  na  cheti  cha  maabara  kinachoonesha  kwamba  yeye  ni  mzima  wa  afya(  hana  ngoma )...

Pamoja  na  ambatanisho  hilo, Uwoya  amewataka  watanzania  kujiwekea  mazoea  ya  kupima  UKIMWI   ili  kujua  afya  zao
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger