Home » , » WENGER NI KIBONDE WA MILELE WA JOSE MOURINHO, HAKUNA UBISHI

WENGER NI KIBONDE WA MILELE WA JOSE MOURINHO, HAKUNA UBISHI

USIJALI sana Arsene – bila shaka itakuwa bahati ya mara ya 10 wakati Jose Mourinho na timu yake, Chelsea watakapokwenda Uwanja wa Emirates Jumatatu ya Desemba 23, mwaka huu.
Kipigo cha Arsenal cha mabao 2-0 katika Kombe la Ligi maarufu kama Capital One kutoka kwa Chelsea usiku wa jana ilikuwa ni mara ya tisa Wenger anakutana na Mourinho na kutoka kichwa chini.
Rekodi yake dhidi ya Mreno huyo inamaanisha yeye ni mnyonge: amefungwa mara tano na kutoa sare nne. Anapotokea Mourinho, Wenger ni kibonde sana.
Ubabe pale pale: Ushindi wa Chelsea kwa Arsenal unamfanya Jose Mourinho aendeleze rekodi ya kutofungwa na Arsenal Wenger (chini)

Arsenal manager Arsene Wenger watches the League Cup fourth round match against Chelsea
Old foes: Mourinho and Wenger greet each other before the Capital One Cup clash
Mourinho na Wenger walisalimiana kabla ya mechi ya Kombe la Ligi jana
Spacial Juan: Juan Mata celebrates helping his Chelsea boss extend his unbeaten record over Wenger
Spacial Juan: Juan Mata akishangilia kumuwezesha kocha Chelsea kuendeleza ubabe wake kwa Wenger

Once again: Didier Drogba heads past Phillippe Senderos in the 2007 League Cup final in another Mourinho win
Mara nyingine tena: Didier Drogba akipiga kichwa pembeni ya Phillippe Senderos katika Fainali ya Kombe la Ligi mwakia 2007 katika mechi nyingine Mourinho anamfunga Wenger

MOURINHO v WENGER


Des 12 2004Arsenal 2 Chelsea 2Ligi Kuu
Apr 20 2005Chelsea 0 Arsenal 0Ligi Kuu
Ago 7 2005Chelsea 2 Arsenal 1 Ngao ya Jamii
Ago 21 2005Chelsea 1 Arsenal 0Ligi Kuu
Des 18 2005Arsenal 0 Chelsea 2Ligi Kuu
Des 12 2006Chelsea 1 Arsenal 1Ligi Kuu
Feb 25 2007Chelsea 2 Arsenal 1Fainali Kombe la Ligi
Mei 6 2007Arsenal 1 Chelsea 1Ligi Kuu
Okt 29 2013Arsenal 0 Chelsea 2Kombe la Ligi
Katika mechi hiyo ya Kombe la Ligi, ambayo Arsenal ilibadilisha wachezaji nane wa kikosi cha kwanza na Chelsea 10 na bado Wenger alichapwa.
Pat down: But Mourinho has fared poorly against Pep Guardiola over the years
Ametulia chini: Lakini Mourinho naye ni kibonde wa Pep Guardiola
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. BONGONEWS TZ - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger